Siwezi Kutoa Gari za Kuhongwa kwa Askari - RC Makonda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siwezi kutoa Gari za kuhongwa kwa Askari - RC Makonda
Mkuu wa Mkoa wa Dar Dar Es Salaam, Paul Mkonda amesema kuwa hawezi kuwapa askari wake magari watu wanahongwa mitaani ni lazima awape maghari yenye hadhi kidogo.

Makonda ameyasema hayo wakati Jeshi la Polisi nchini wakimalizia maadhimisho ya siku ya Polisi Tanzania, ambapo walikuwa katika Ukumbi wa Mlimani City kuwapatia Askari vyeti na zawadi Mbalimbali kama kuwapa motisha katika utendaji wao wa kazi.

"Askari mmoja akaniambia sasa Mkuu ka ICT kanakula mafuta kidogo, nikasema siwezi kumpa askari wangu gari ambalo mimi siwezi kutumia zile wanahongwa hongwa watu huko mtaani," alisema Makonda.

"Hata kama nakupa gari ndogo natakiwa nikupe yenye hadhi kigogo, sasa nitoe gari ambao watu wanahonga honga kule nimpe askari kweli?Alihoji.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad