Tupo Tayari Kukabiliana na Matishio Yoyote Yanayojitokeza - Jenerali Mabeyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tupo tayari kukabiliana na matishio yoyote yanayojitokeza - Jenerali Mabeyo
Tupo tayari kukabiliana na matishio yoyote yanayojitokeza - Jenerali Mabeyo
 Muungwana Blog 5  Saturday, April 13, 2019

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Tanzania, Jenerali  Venance Mabeyo amesema kuwa hali ya usalama kwenye nchi ni shwari na wakati wote wapo tayari kukabiliana na matishio yoyote yatakayojitokeza.

Jenerali Mabeyo ameeleza hayo leo wakati wa hafla ya  uzinduzi wa mji wa kiserikali uliojengwa Ihumwe mkoani Dodoman ambao unazinduliwa  na Rais wa Tanzania, John  Magufuli.

“Hali ya usalama kwenye mipaka yetu ni shwari, ndani ya nchi yetu JWTZ kwa kushirikiana na vyombo vya wengine liko tayari kuwalinda wananchi na mali zao, wakati wote tupo tayari kukabiliana na matishio yoyote yanayojitokeza," amesema.

Kuhusu ujenzi wa nyumba na ofisi za Serikali, Jenerali Mabeyo amesema kwa kiasi kikubwa kazi hiyo imefanywa na vijana wa JKT na imefanyika kwa miezi mitano.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad