AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizindua Mji wa Serikali ambapo amebainisha naada ya viongozi wakuu wa kitaifa kuhamia huko yeye yuko njiani kuhamia Dodoma.
Rais Magufuli amesema "nakuja Dodoma nilichelewa kidogo baada ya kuuguliwa na Mama yangu, ambaye mpaka sasa bado yupo hospitalini hawezi kuzungumza, hawezi kula lakini nawahakikishia nakuja Dodoma kwa sababu hakuna cha kunichelewesha kuja Dodoma."
https://twitter.com/earadiofm/status/1117002425532133382
Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa "wakati natoa ahadi wapo watu wachache ambao hawakuamini kama tutahamia Dodoma, na walikuwa na sababu ya kutoamini, kama tulishindwa kwa miaka 40, tungewezaje kwa miaka 3 lakini ahadi huwa ni deni."
https://twitter.com/earadiofm/status/1117001050953744386
Katika hatua nyingine Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Mabeyo amesema kuwa "ndani ya nchi yetu kwa kushirikiana na vyombo vingine tutawalinda wananchi na mali zao, tutakabiliana na matishio ndani ya nchi yetu, na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kauli tata zinazoashiria uchochezi na machafuko ndani ya nchi yetu"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK