Ukisikia Mwanamke Ana Kauli Hizi, Stay Away From Her

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika kupiga story na mwanamke/ Msichana ambaye una interest nae na ungependa in some days awe somebody wako/ Mrs. Akiwa na kauli hizi achana nae


" Nataka kuwa na kazi yangu, Niwe na biashara yangu niwe na maisha yangu nifanye vitu vyangu ninunue na kiwanja changu nijenge nyumba yangu"



Kaa mbali na huyo mwanamke. Huwa ni wabinafsi sana. Hutakaa ufurahie maisha nae.

Wakati wewe unawaza uwe uwe na mke pia uwe na familia ufanye mambo kwa ajili ya familia, yeye anajiwazia yeye tuu.


"NEVER MARRY A SELFISH WOMAN"

Nafuu uoe mwanamke mshirikina
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad