AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na moja ya mtandao kutoka nchini humo, Rose amesema kuwa, kukutana kwake na kijana huyo ni kusudi la Mungu na hakuna kitu kingine zaidi ya hilo na hawana uhusiano wa kimapenzi kama watu wanavyodai.
"Kasolo alinichukua kama mama wa huduma na hivyo upendo wake kwangu ni kama mama yake, na nilikubali kuishi naye ili kutimiza kusudi la Mungu", amesema Rose Muhando.
Ameongeza kuwa, "Watu wanapotuona wawili wajue kuwa ni kusudi la Mungu, nafanya kwaajili yake na ninafanya kwa upande wangu, jamii naomba inielewe kwenye hili".
Rose Muhando amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya taarifa zilizoibuka kupitia mitandao ya kijamii zilizodai kuwa wawili hao walikuwa katika uhusiano wa kimapenzi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK