AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) nchini wamelaani vikali vitendo ya ufukuaji makaburi vinavyofanyika Mkoani Mbeya na maeneo mengine nchini vinavyofanywa na baadhi ya watu ambao bado wanaendekeza mila potofu.
Akizungumza na vyombo vya habari akiwa Mkoani Njombe Mwenyekiti wa Chama Cha Albino Tanzania Bwana Nemes Temba amesema vitendo ivyo vimekuwa vikiwaingiza kwenye hofu kubwa na kukosa amani Albino aambo ambalo linapingwa vikali huku wakiitaka Serikali kuingilia kati ukomeshaji wa vitendo hivyo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK