Wachezaji Wamechoka Itakua Ngumu leo kupambana na kagera Suger - Kocha Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wachezaji Wamechoka Itakua Ngumu leo kupambana na kagera Suger - Kocha Yanga
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo dhidi ya Kagera Sugar utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba licha ya wachezaji wake kuchoka.

Zahera amesema kuwa wachezaji wake wamecheza michezo mingi mfululizo hali inayowafanya wawe kwenye wakati mgumu wa kutafuta matokeo leo mbele ya Kagera Sugar.

"Wachezaji wangu wamechoka kufuatana na kucheza mechi dhidi ya African Lyon, ila nimewapa mazoezi ambayo yamewafanya wawe fiti kwa ajili ya kupambana.

"Najua mechi itakuwa ngumu tena zaidi ya ile ya Lyon kikubwa ni kupambana na wachezaji nimewaandaa ili tupate matokeo tuzidi kuwa bora zaidi," amesema Zahera.

Yanga ni kinara wa ligi kwenye msimamo baada ya kucheza michezo 30 amejikusanyia pointi 71.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad