Rais wa Sudan Omar Al-Bashir Ang'oka Madarakani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Sudan Omar Al-Bashir Ang'oka Madarakani
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Reuters, Rais wa Sudan Omar Al-Bashir  tayari ameshaachia ngazi na makubaliano juu ya kuundwa kwa serikali mpya yanafanyika. 

Baadhi ya viongozi wa juu wa serikali akiwemo Waziri wa zamani wa ulinzi na kiongozi wa juu wa chama tawala wanashikiliwa na jeshi. 

Tangu asubuhi ya leo,  wanajeshi walikuwa wametanda katika makazi rasmi ya rais  Omar Al-Bashir na kuzingira njia zote muhimu za kuingia na kutoka mji mkuu wa Khartoum na  uwanja wa ndege  Khartoum umefungwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad