Waziri Mkuu asema NEC haitasimamia uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tume ya Taifa ya Uchaguzi haiwezi kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kama ambavyo imependekezwa na baadhi ya Wabunge.


Waziri Mkuu ametoa kauli Bungeni jijini Dodoma kwenye mkutano wa 15 wakati akihitimisha hoja ya bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu, taasisi zake na Mfuko wa Bunge kwa mwaka 2019/2020 wakati akijibu hoja iliyotolewa kwamba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa usisimamiwe na Ofisi ya Rais- TAMISEMI na badala yake usimamiwe na Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Waziri Mkuu amesema serikali inawashukuru Wabunge kwa imani kubwa walioionesha kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo ni huru, juu ya utekelezaji wa majukumu yake, na kuona umuhimu wa kuiongezea jukumu la kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, lakini tume haitosimamia uchaguzi huo.

“Hivyo, jukumu la kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa si miongoni mwa majukumu ya Tume kwa mujibu wa Katiba,” amesema Waziri Mkuu Majaliwa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad