AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kitendo cha kubaguliwa kwa Moise kimekuwa gumzo kiasi cha kiungo wa zamani wa FC Barcelona na Man City Yaya Toure akizungumza na UEFA Equal Game kuweka wazi kuwa kama angefanyiwa yeye na mchezaji mwenzake wa timu moja basi angemjua yeye ni nani
“Kwangu mimi ni nadharia mbaya kuwahi kukutokea katika mpira, mchezaji mwenzako anakushambulia kwa kusema vitu kama vile, unaweza kufikiria ingeniumiza kiasi gani wakati naona hivi vitu vikitokea tunatakiwa kufanya kitu ili kuendelea mbele haraka iwezekanavyo”>>> Yaya Toure
“Sitaki kuingia ndani zaidi kuhusiana na (Bonucci) alichokisema ni kumkosea heshima mchezaji mwenzake, sitaki kuwa mkali kuhusu yeye lakini angekuwa mchezaji mwenzangu mimi angenijua leo, anatakiwa kumuomba msamaha mchezaji mwenzake (Kean) na kuomba msamaha timu yake pia”>>> Yaya Toure
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK