Yondani Kukosa Mechi Tatu Ligi Kuu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yondani Kukosa Mechi Tatu Ligi Kuu
Beki wa kikosi cha Yanga SC Kelvin Yondani sasa atakosa jumla ya mechi tatu zijazo katika ligi na faini sh.500,000.

Adhabu hiyo atakumbana nayo kufuatia kupewa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwenye mchezo wa jana dhidi ya Kagera sugar uliomalizika kwa Yanga kushinda mabao 3-2.

Beki huyo atakosa mechi hizo kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Kagera na kupelekea kulimwa kadi hiyo.

Michezo mitatu atakayoikosa beki huyo kisiki nchini ni dhidi wakata miwa wa Mtibwa Sugar ambao utachezwa Morogoro (17 April 2019) Azam FC vs Yanga (29 April 2019) na Mchezo wa FA dhidi ya Lipuli FC utakaopigwa Iringa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad