AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Adhabu hiyo atakumbana nayo kufuatia kupewa kadi nyekundu ya moja kwa moja kwenye mchezo wa jana dhidi ya Kagera sugar uliomalizika kwa Yanga kushinda mabao 3-2.
Beki huyo atakosa mechi hizo kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Kagera na kupelekea kulimwa kadi hiyo.
Michezo mitatu atakayoikosa beki huyo kisiki nchini ni dhidi wakata miwa wa Mtibwa Sugar ambao utachezwa Morogoro (17 April 2019) Azam FC vs Yanga (29 April 2019) na Mchezo wa FA dhidi ya Lipuli FC utakaopigwa Iringa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK