Baada ya Kufungwa na Simba Beki wa Ndanda Atoa ya Moyoni "Haikuwa Bahati Yetu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Beki wa Ndanda FC, Abdallah Mfuko amefunguka baada ya kupata kichapo cha mabao 2-0 mbele ya Simba SC na kusema kuwa walishindwa kuwadhibiti Simba kutokana na ubora wao pamoja na wao kushindwa kutumia nafasi ambazo walizipata.

"Haikuwa bahati yetu, tulipambana kutafuta matokeo tukakwama, ila ukweli ni kwamba Simba ipo vizuri na ndio maana tukapoteza.

"Tumetengeneza nafasi lakini zote ziliweza kuzuiwa na wapinzani wetu, bado tunaendelea na mapambano kwa ajili ya michezo yetu iliyobaki muda bado unaruhusu makosa yetu benchi limeyaona na linafanyia kazi," amesema
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad