AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshairi huyo aliyetambulika kwa jina la Yasminah alidai kuwa The Weekend aliachia ngoma yake ya “Starboy” mwaka 2016 na kugundulika kuwa ngoma hiyo inafanana na yake na aliamini kuwa The Weekend alipata kufahamu ngoma yake kwa sababu ilifanya vizuri kwenye jamii ya Afrika Mashariki na hivyo alifungua shitaka na kudai thamani ya shilingi Bilioni 11 za Kitanzania.
Kwa mujibu wa makala kutokea mahakamani umedai kuwa The Weekend amekataa kuhusiana na ishu hiyo na kutaka kesi hiyo kufutwa huku akisema kuwa ngoma yake hiyo ilitungwa kwa umakini na hata hivyo wafanyakazi wenzake walitoa uhuru wakidai kazi hiyo kama imeibiwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK