Marekani yatuma mfumo wa kukinga makombora

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Marekani inatuma mfumo wa kujilinda dhidi ya makombora na meli ya kivita katika eneo la mashariki kutokana na hali ya waiswasi iliopo katiya taifa hilo lna Iran.

Meli hiyo ya kivita ya USS Arlington, inayosafirisha magari na ndege , itajiunga na kundi la kijeshi la USS Abraham Lincoln katika ghuba , maafisa wanasema.

Makombora ya US B-52 bombers pia yamewasili katika kambi moja nchini Qatar , idara hiyo imesema.

Marekani imetoa habari chache kuhusu uwezo wa tishio hilo , ambao Iran umepinga kama ujinga, ikitaja hatua hiyo ya Marekani kama vita vya kiakili vyenye lengo la kuitishia nchi hiyo.

Wakati huohuo chombo cha habari cha Isna News Agency kilimnukuu kiongozi mmoja mkuu wa dini , Yousef Tabatabai-Nejad akisema kuwa ''msafara huo wa Marekani unaweza kuharibiwa na kombora moja pekee''.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad