Mfungo Wa Ramadhani Kuanza Kesho, Mei 07

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kadhi Mkuu wa Tanzania, Abdallah Mnyasi amesema mfungo mtukufu wa ramadhani utaanza kesho Jumanne ya Mei 7, 2019.

Akizungumza jana Jumapili Mei 5,2019 kupitia televisheni ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) wakati akifafanua kuhusu mwandamo wa mwezi alisema haujaonekana.

Alisema Waislamu kote nchini wataanza mfungo wa ramadhani mara baada ya kukamilika siku 30 za mwezi Shaaban.

Naye Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum  amesema kwa kushirikiana na Mufti wa Zanzibar, Sheikh Saleh Omar Kaabi,na wa Tanzania Bara, Abubakar Zuber  wamekubaliana mwezi haujaonekana.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad