Kisa Manji, Waziri Ashambuliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika, ameweka wazi kwamba kabla ya kufanyika uchaguzi wa Klabu ya Yanga jana Jumapili, alishawahi kupigiwa simu na watu wengi ambao wengine walimpa lugha kali zisizoelezeka ikiwa ni baada ya viongozi waliokuwepo madarakani akiwemo mwenyekiti Yusuf Manji, kujizulu.

Mkuchika alikuwa mmoja wa wanachama wa Yanga ambao walijitokeza jana katika uchaguzi mkuu wa Yanga wa kuwachugua mwenyekiti, makamu mwenyekiti na wajumbe uliofanyika katika Ukumbi wa Bwalo la Polisi, Oysterbay jijini Dar.

Yanga ilifanya uchaguzi wake ikiwa ni baada ya viongozi wa klabu hiyo wakiongozwa na Manji, makamu mwenyekiti, Clement Sanga na wajumbe wa kamati ya utendaji kujiuzulu nafasi zao.

Mkuchika amesema kwamba alikuwa anatolewa lugha hizo kali kupitia njia ya simu wakati ambao klabu hiyo haikuwa na viongozi na uchaguzi ulikuwa bado haujafanyika.


“Ninawaomba Wanayanga leo (jana) wasifanye makosa, wachague viongozi wazuri ambao watatuendeshea vizuri klabu kwa miaka minne ijayo.

“Nakumbuka kipindi cha mchakato wa uchaguzi huu ilifika wakati ninapigiwa simu na watu ambao walikuwa wanatoa lugha kali wakiwa wanaulizia juu ya uchaguzi huu, sasa hii ni nafasi kwenu, msifanye makosa,” alisema Mkuchika.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad