Mtoto wa R Kelly Afukuzwa Chuo kwa Kukosa Ada

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MTOTO wa mwanamuziki R.Kelly , Joann Lee,  ameripotiwa kufukuzwa chuoni kutokana na kutolipa ada. Mtoto huyo ambaye anasoma chuo cha sanaa huko  California, Marekani,  alijikuta anarudishwa nyumbani kwa kushindwa kulipa ada kwa wakati baada ya kufika na kutoruhusiwa kuingia.

Meneja wa R.Kelly, Darrell Johnson ametoa taarifa kuwa msanii huyo hakushindwa kulipa fedha hizo ila amesimamisha zoezi hilo baada ya kupata taarifa za Joann Lee kuacha chuo mwaka 2018. R. Kelly yupo tayari kulipa lakini mpaka atakapoonyeshwa kweli pesa zinahitajika kupitia mfumo wa taarifa maalum (bill statements).

Inasemekana kuwa Kelly na binti yake huyo hawana maelewano mazuri kutokana na Kelly kumlaumu mama wa mtoto huyo akidai kuwa anampandikiza chuki binti yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad