AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa R.Kelly, Darrell Johnson ametoa taarifa kuwa msanii huyo hakushindwa kulipa fedha hizo ila amesimamisha zoezi hilo baada ya kupata taarifa za Joann Lee kuacha chuo mwaka 2018. R. Kelly yupo tayari kulipa lakini mpaka atakapoonyeshwa kweli pesa zinahitajika kupitia mfumo wa taarifa maalum (bill statements).
Inasemekana kuwa Kelly na binti yake huyo hawana maelewano mazuri kutokana na Kelly kumlaumu mama wa mtoto huyo akidai kuwa anampandikiza chuki binti yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK