AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Unajua watu wengi wako kwenye fumbo kuhusu mimi na Ray, na mimi nataka wawe hivyohivyo kwani sio kila kitu chetu kiwepo wazi kwa kila mtu ukizingatia sisi ni wazazi,” alisema Chuchu. Chuchu na Ray walidaiwa kumwagana miezi kadhaa iliyopita huku mapichapicha ya Ray akiwa na mwanamke mpya yakizagaa mitandaoni ambapo mwenyewe alipoulizwa alikanusha kuwa huyo anayeonekana naye si mpenzi wake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK