Chuchu Aachana Fumbo Penzi Lake na Ray

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MZAZI mwenziye na muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’, Chuchu Hans amesema kuwa mpaka sasa watu wengi wako kwenye sintofahamu juu ya penzi lake na mzazi mwenzie huyo kama wameachana au la; na yeye anapenda iwe hivyo.  Akizungumza na Amani, Chuchu alisema kuwa watu wengi wanadhani kuwa walishaachana na kila mtu yuko na mambo yake lakini wanashangazwa zaidi wanapomuona anatoka nyumbani kwa Ray.

“Unajua watu wengi wako kwenye fumbo kuhusu mimi na Ray, na mimi nataka wawe hivyohivyo kwani sio kila kitu chetu kiwepo wazi kwa kila mtu ukizingatia sisi ni wazazi,” alisema Chuchu. Chuchu na Ray walidaiwa kumwagana miezi kadhaa iliyopita huku mapichapicha ya Ray akiwa na mwanamke mpya yakizagaa mitandaoni ambapo mwenyewe alipoulizwa alikanusha kuwa huyo anayeonekana naye si mpenzi wake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad