Rais Magufuli Ayapokea Mapendekezo Yote ya TUCTA kuhusu Kodi na Mishahara ya Wafanyakazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli amesema Serikali imeyachukua mapendekezo yote na ushauri wa TUCTA likiwemo la kuangalia namna ya kupunguza suala la kodi ya mfanyakazi kuwa ya tarakimu moja.

Pia bodi za misharaka kukutana na kujadiliana kuhusu viwango vya mishahara ya wafanyakazi.

"Kuhusu suala la kupunguza kodi halina tatizo, kama tumeweza kupunguza kodi kutoka asilimia 11 hadi tisa bado tunaweza kuendelea kujadiliana," amesema Magufuli.

Awali TUCTA ilieleza kuwa, punguzo la kodi katika mishahara kutoka 11% hadi 9%, linawanufaisha wafanyakazi wenye mishahara kati ya 170,000 hadi 325,000 pekee. Wenye mishahara zaidi, hawanufaiki. Wameiomba serikali, punguzo hilo la hadi 9% liwe kwa wafanyakazi wote.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad