AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mratibu wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa kikosi kinatarajiwa kurejea kambini Juni 20 mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa mwaka 2019/20.
Pia wana kibarua cha kutetea kombe lao la Kagame huku michuano ikitarajiwa kuanza Julai 6 mwaka huu Kigali
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK