Chokoraa Aamua Kuimba Gospel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

RAPA muimbaji mahiri Bongo, anayemiliki Bendi ya Mapacha Orijino, Khalid Chuma maarufu Chokoraa hatimaye ameanza kujichanganya rasmi kwenye Muziki wa Gospo.

Kwa kipindi cha nyuma, mara nyingi bendi yake ilikuwa ikiimba nyimbo za Gospo lakini aliyekuwa akiimba nyimbo hizo ni mkewe, Catherine Chuma.

Kutokana na nyimbo hizo kuonekana kupendwa na bendi hiyo, Chokoraa naye ameo-nekana kuingia rasmi kwenye mpango wa kupiga nyimbo hizo ambazo juzikati akiwa na bendi hiyo katika Ukumbi wa Forty Forty uliopo Tabata Bima Dar naye alionekana kutumia muda mwingi kuimba nyimbo hizo.

Akizungumza na paparazi wetu Chokoraa alisema: “Mimi ni msanii kazi yangu ni kuwaburudisha mashabiki kwa staili yoyote nikitumia kipaji changu cha uimbaji.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad