AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa kipindi cha nyuma, mara nyingi bendi yake ilikuwa ikiimba nyimbo za Gospo lakini aliyekuwa akiimba nyimbo hizo ni mkewe, Catherine Chuma.
Kutokana na nyimbo hizo kuonekana kupendwa na bendi hiyo, Chokoraa naye ameo-nekana kuingia rasmi kwenye mpango wa kupiga nyimbo hizo ambazo juzikati akiwa na bendi hiyo katika Ukumbi wa Forty Forty uliopo Tabata Bima Dar naye alionekana kutumia muda mwingi kuimba nyimbo hizo.
Akizungumza na paparazi wetu Chokoraa alisema: “Mimi ni msanii kazi yangu ni kuwaburudisha mashabiki kwa staili yoyote nikitumia kipaji changu cha uimbaji.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK