AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Samatta mwenye umri wa miaka 26 kwa mujibu wa mtandao wa The Sun wa England umeripoti kuwa anawindwa na club tano za EPL na dau la kumng’oa Genk linatajwa kufikia pound milioni 12 ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 34.9.
Club ambazo zimeripotiwa kumuhitaji Samatta ni zinazoshiriki EPL ni Watford, Leicester City, Burnley, Aston Villa waliopanda daraja na Brighton wanaopewa nafasi kubwa kumnasa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK