Dj Khalid Aikasirikia Label Yake Baada ya Albam Yake ya "FATHER OF ASAHD" Kushindwa kushika Namba Moja

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dj Khaled hajafurahia kuona Album yake imeshindwa kufika namba 1 na kudondokea namba 2 kwenye chart za “Billboard Hot 100” inaripotiwa kuwa ameikasirikia Label yake.
.
Vyanzo vya karibu vimeuambia mtandao wa Pagesix kuwa Dj Khaled alienda kwenye ofisi za Epic Records kuangalia data za mauzo ya Album yake na alipokuta zinaonesha kuwa Album ya #FatherOfAsahd imekuwa ya pili alipandisha hasira na kuanza kuilalamikia label.
.
“Dj Khaled huwa anaonekana mtu wa furaha muda wote lakini ana hasira sana” Chanzo Kimoja kimefunguka. “Hakutaka kabisa kukubali kuwa namba 2”
.
Mbali ya Promotion kubwa ikiwemo kutokea kwenye Kipindi cha SNL (Saturday Night Live) na Collaboration Kubwa, Album ya Khaled imeshika namba 2 nyuma ya Igor, Album mpya ya Taylor The Creator (Ambaye pia ni msanii wa Sony, label Mama ya Epic Records inayomsimamia Khaled)
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad