Skyner: Sina Muda na Wanae

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MREMBO mwenye figa matata aliyepata umaarufu kupitia Bongo Movies, Skyner Ally ‘Skaina’ ameweka wazi kuwa, hana muda wa kupoteza kuwafikiria wanaume kwani akili yake inawaza biashara tu.

Akizungumza na Amani, Skyner alisemaa alichojipangia kwa sasa maishani mwake, badala ya kupiga soga, umbeya, majungu na wanaume, anajishughulisha katika biashara zake ikiwemo ya nguo.

“Mimi mwili wangu siwezi kuutumia kwa wanaume, niko zangu bize na biashara hata huo muda wa kufanya mambo ya kipuuzi sina,” alisema Skyner ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego.’
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad