AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani, Skyner alisemaa alichojipangia kwa sasa maishani mwake, badala ya kupiga soga, umbeya, majungu na wanaume, anajishughulisha katika biashara zake ikiwemo ya nguo.
“Mimi mwili wangu siwezi kuutumia kwa wanaume, niko zangu bize na biashara hata huo muda wa kufanya mambo ya kipuuzi sina,” alisema Skyner ambaye ni mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego.’
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK