AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kawe Halima Mdee akiwa anaendelea na matibabu katika Hospitali ya Agha Khan jijini Dar es Salaam mara baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe tumboni.
Katika picha juu ni Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche aliyefika Hospitali ya Agakhan jijini Dar es Salaam kumjulia hali Halima Mdee.
“Nilikuja hospitali Alhamisi saa tisa alasiri kwa ajili ya kuangalia afya yangu, ila madaktari baada ya vipimo wakabaini tumboni kuna tatizo na kunishauri nifanyiwe upasuaji haraka iwezekanavyo, nipo vizuri”, amesema Halima Mdee.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK