Idriss Awataka Watu Waache Unafki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Komedianii matata Bongo ambaye ni mshindi wa Shindano la Big Brother Afrika 2014, Idris Sultan amewafungukia baadhi ya watu wanaowaposti wenzao kwenye mitandao ya kijamii wakiwa kwenye matatizo au furaha akiwataka kuacha unafiki.



Akizungumza na Gazeti la ijumaa Wikienda, idris alisema kinachomuumiza, hivi sasa watu wengi wamejisahau kuwa kuna umuhimu wa kumfariji mtu uso kwa uso bila mitandao ya kijamii.



“Watu wamekuwa wa ajabu sana, yaani mtu akishamposti mtu kwenye mitandao ya kijamii akiwa amepata msiba au ana jambo lolote, anakuwa amemaliza, lakini ukweli ni kwamba wanapoteza ile hali ya ubinadamu siku hadi siku kwa kuamini akishamposti mtu amemaliza,” alisema Idris.



Aliendelea kueleza kuwa, kwa upande wake yeye anaona ni unafiki kumposti mtu kwenye mitandao bila kumuona uso kwa uso ukiamini kabisa mitandao imemaliza kazi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad