Kiongozi wa BAVICHA akamatwa, RPC aeleza kilichomponza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limewakamata viongozi watatu wa Baraza vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) akiwepo Petric Sosopi (Mwenyekiti BAVICHA) wakiwa mji mdogo wa Ifakara wilayani Kilombero wakituhumiwa kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba.

Wengine waliokamatwa ni Daniel Ngogo na mwingine hajafahamika.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro,  Wilbroad Mutafungwa amesema watu hao wamekamatwa Ifaraka na wapo njiani kupelekwa kituo kikuu cha polisi mkoa wa Morogoro.

"Watakapofika tutawafanyia mahojiano, walikuwa wakifanya kampeni za nyumba kwa nyumba wakati wakijua ni kinyume na kipindi cha kampeni hakijafika," amesema Mutafungwa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad