AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wengine waliokamatwa ni Daniel Ngogo na mwingine hajafahamika.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema watu hao wamekamatwa Ifaraka na wapo njiani kupelekwa kituo kikuu cha polisi mkoa wa Morogoro.
"Watakapofika tutawafanyia mahojiano, walikuwa wakifanya kampeni za nyumba kwa nyumba wakati wakijua ni kinyume na kipindi cha kampeni hakijafika," amesema Mutafungwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK