AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kusali kwa kupayuka sio ishara yakuwa maombi yanamfikia Mungu ni kukosa hekima maana kunaweza kuleta makwazo kwa majirani na pia kuwapa watu faida ya kuyasikia matatizo yako, Mathayo 6:7 mwalimu Yesu anasema ..nanyi mkiwa katika kusali msipayuke payuke kama watu wa mataifa maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi, kikubwa kinachotakiwa ni ushirika wako wa rohoni na Mungu”- Mchungaji Anthony Lusekelo
Mzee wa Upako"Kusali kwa kupayuka sio ishara yakuwa maombi yanamfikia Mungu ni kukosa hekima"
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK