AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jamani nasumbuliwa na shemeji yenu ndoa hii ina tabu sana nimevumilia mpaka basi , Jana Mume Wangu karudi nyumbani saa nne usiku amelewa chakari , akajilaza tu kitandani na suti yake , nikaamua nimvue ili alale vizuri , cha kushangaza wadau nikakuta hana Nguo ya Ndani Bukta ama Boxer ambayo alivaa asubuhi baada ya kumpigia pasi....
Sasa nimebaki najiuliza maswali mengi ilikuwaje akaivua na alienda tu kazini na jioni aliniambia anapata moja mbili na marafiki zake?
Bado sijamuuliza nini kilitokea ila naombeni ushauri nifanyaje?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK