Nuh Mziwanda 'Nilimpata Huyu Msichana Kwa Rafiki Yangu..Alikuwa Girlfriend Wake"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ameeleza namna alivyofanikiwa kugundua kipaji cha kuimba kutoka kwa mpenzi wa rafiki yake wa karibu.


Mziwanda ambaye anatamba na ngoma ya 'Natapatapa' amesema hayo katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), alipoulizwa namna alivyogundua kipaji cha msanii mpya wa lebo yake aitwaye Bi Aisha, ambaye alimleta kutambulisha nyimbo yake.

"Kuna stori ndefu sana ya mimi hadi kufahamiana naye na kugundua kipaji chake, 'short and clear' huyu alikuwa ni girlfriend wa rafiki yangu lakini nilikuwa sijui kama huyu ana uwezo wa kuimba", amesema Mziwanda.

"Siku moja nilikwenda kwa rafiki yangu, nikamkuta ana 'mike' anafanya Kareoke ndani mwake, nilipofungua studio nikamchukua", ameongeza.

Mtazame hapa chini akizungumza zaidi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad