AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Brazil wametoa taarifa kuwa watamkosa staa huyo kutokana na kupata majeraha ya kifundo cha mguu katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Qatar ambao walikuwa wanautumia kwa maandalizi ya Copa America.
Neymar alikuwa anatarajiwa kuiongoza timu ya taifa ya Brazil katika michuano hiyo ila baada ya kufanyiwa uchunguzi amebainika kuwa ameumia kwa kiwango kikubwa katika kifundo chake cha mguu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK