AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ben Pol kupitia Youtube Channel yake ameeleza mengi tusio yafahamu kuhusiana na mpenzi wake Anerlisa, Ben Pol amekanusha taarifa za Anerlisa kuwa mjamzito na kueleza kuwa alichokipost kilikuwa ni ndoto tu kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha.
Kuhusu kumvisha pete ni kweli Ben Pol amekiri kukusudia kuingia nae katika ndoa na kuanza familia nae, ndio maana ameamua kuwa serious na kumvisha pete ya dola 11000 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 22, Ben Pol amesisitiza kuwa mahusiano yake na Anerlisa ni upendo tao tu ndio unawaunganisha na sio pesa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK