AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashabiki watakao taka kupiga picha na staa wa filamu duniani Sylvester Stallone, maarufu kwa jina la Rambo watatakiwa kulipa zaidi ya millioni 2
Msanii huyo atahudhuria tamasha la mitindo (UK events) amablo litafanyika jijini London, Manchester na Birmingham Agosti na Septemba mwaka huu, mashabiki ambao wanataka kupiga naye picha lazima walipe pauni 849, ambazo ni sawa na 2,481,880 za Kitanzania.
Tofauti na kiasi hicho cha kupiga picha na msanii huyo mwenye umri wa miaka 72, tiketi zakiingilio kwanye tamasha hilo zitakuwa zinauzwa pauni 125 hadi 325 sawa na 365,412 na 950,072 za Kitanzania.
Miley Cyrus aomba radhi kwa kuiponda Hip-Hop
Mashabiki wa msanii huyo wamechukizwa na kiwango cha fedha kilichowekwa kwaajili ya kupiga nae picha huku wengine wakidai kuwa inabidi wauze figo zao ili waweze kupata fedha za kupiga picha na staa huyo filamu
Mkali huyo wa flamu za kivita atahudhuria tamasha hilo la mitindo ikiwa nisehemu yake ya kukutana na mashabiki wake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK