Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Mwenyekiti wa CUF taifa, Prof. Ibrahim Lipumba amefunguka kuhusu wabunge ambao waliwasaliti na kuleta mgogoro ndani ya chama chao. Pia Lipumba amemvaa Mbunge wa jimbo la Ubungo Said Kubenea kwa kudai kuwa aliwahi kumchafua na kumtaka kama anaweza wazichape.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo na Makampuni Bonyeza HAPA