Davido Awaburuza Tena Wasanii wa Afrika katika Mapato

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jarida la Instagram Rich List 2019, limetoa orodha ya watu 100 ambao wanaingiza pesa nyingi kupitia matangazo ya biashara wanayopost kwenye kurasa zao za mtandao wa kijamii wa Instagram.


Kutokea barani Africa, Davido ndiye amekuwa msanii wa kwanza anayeingiza pesa nyingi kupitia matangazo anayopost Instagramm ambapo amekamata nafasi ya 38.

Davido analipwa Dola 74,000 sawa na Milioni 170 za Tanzania kwa kila tangazo moja. Pia katika orodha hiyo wapo wasanii kama Wizkid kwenye nafasi ya 46, na Tiwa Savage kwenye nafasi ya 48.

Davido ndiye msanii mwenye wafuasi wengi zaidi katika mitandao ya kijamii ya Instagram na Twitter kutokea barani Africa.  Kwasasa Instagram  ana wafuasi Milioni 11 huku Twitter akiwa na Milioni 5.

Kwa ujumla orodha hiyo inaongozwa na Kylie Jenner, Ariana Grande na Cristiano Ronaldo katika nafasi ya tatu.  Watu wengine maarufu waliopo katika list hiyo ni Kim Kardashian, Beyonce, Lionel Messi, Neymar Jr, Justin Bieber, Nick Minaj, David Beckham na Ronaldinho.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad