AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII wa vichekesho nchini, Annastazia Exavery ama Ebitoke amesema kazi ya uhudumu wa baa imemfundisha vitu vingi kwenye maisha yake na kamwe hatothubutu kuidharau.
Akizungumza na DIMBA, Ebitoke alisema, hawezi kuidharau kazi hiyo wala kuwasema vibaya wanaoifanya kwa sababu anajua changamoto zake na wanaofanya siyo kwamba wanapenda.
Ninaheshimu uhudumu wa baa kwani kwangu ina mchango mkubwa katika maisha yangu najua changamoto zake na wale wanaofanya siyo kwamba wanapenda misukosuko ila ni shida tu,î alisema Ebitoke.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mama Tibaijuka: ogumile maawe?
ReplyDelete