AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa ya Emirates imesema kuwa wamechukua uamuzi huo baada ya kufuatilia kwa karibu hali nchini Sudan na kutathmini kwa kina mazingira yote ya uendeshaji huduma.
Emirates itakuwa na safari moja ya ndege kila siku nchini Sudan. Viongozi wa maandamano wameingia katika siku ya pili ya mazungumzo na watawala wa kijeshi yakiwa ni ya kwanza ya aina yake kuwahi kufanyika tangu kushambuliwa kwa waandamanaji mwezi uliopita.
Kiongozi mmoja wa waandamanaji, Ahmed al-Rabie amesema kuwa mazungumzo ya leo yanajikita katika suala la nani ataongoza baraza huru la mpito. Mpango wa Ethiopia na Umoja wa Afrika unatoa wito wa kuundwa baraza litakaloongozwa na raia wengi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK