AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili Fatma Karume amesema Rais John Magufuli ametuma ujumbe mkubwa kwa mababa kuwa watoto wao hawatabaki kuwa mawaziri, wabunge ama makatibu wakuu.
Fatma aliyasema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter kuwa leo Rais Magufuli ametuma message kubwa kwa mababa.
Aliandika ujumbe unaosomeka hivi :
“Leo Magu katuma message kubwa kwa mababa. Thubutu na mtaona kama watoti wenu watabaki kuwa mawaziri, wabunge, makatibu wakuu Message sent and delivered kwa wazee,”
Leo, Rais John Magufuli amefanya uteuzi wa mawaziri wapya wawili, akimteua Hussein Bashe kuwa naibu Waziri wa Kilimo kuchukua nafasi ya Innocent Bashungwa ambaye hivi karibuni ameteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.
Pia, amemteua George Simbachawene kuchukua nafasi ya aliyekuwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba, ambaye uteuzi wake umetenguliwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK