Kauli ya Kaseja baada ya kuichezea Taifa Stars baada ya miaka 6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Golikipa wa Juma Kaseja leo Jumapili ya July 28 2019 ameandika historia mpya katika soka lake kufuatia kurudi kuichezea timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kwa mara ya kwanza baada ya miaka 6, Kaseja mara ya mwisho kuichezea Taifa Stars ilikuwa 2013 na mara ya kwanza ilikuwa ni 2002, leo amerudi ana nini cha kusema.

“Namshukuru Mungu kwa sababu alipangalo Mungu hakuna binadamu anayeweza kulipangua, nilitoka timu ya taifa lakini muda wote waliokuwa wanacheza ni watanzania kama mimi na mimi leo nimerudi ni mtanzania mimi nadhani tuungane tuipiganie nchi yetu”>>>Juma Kaseja

Baada ya mchezo wa leo wa Tanzania kuwania kucheza CHAN 2020 kumalizika kwa sare tasa 0-0, sasa Taifa Stars itakuwa na safari ya kwenda Kenya kucheza mchezo wa marudiano August 4 huku wakihitajika kupata sare ya 1-1 au ushindi ili kusonga hatua inayofuata.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad