Kigali, Rwanda Wafuasi wa Upinzania Waendelea Kutoweka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Eugene Ndereyimana mwanachama wa muungano wa upinzani usio rasmi wa FDU-Inkingi ametoweka wakati akienda kuongea na Wananchi wa Mji wa Nyagatare

Ndereyimana(29) ambaye ni Baba wa Watoto wawili ni mtu wa 5 kutoka chama cha FDU-Inkingi kutoweka katika mazingira tata

FDU-Inkingi wamekuwa wakiendesha harakati za kuikosoa Serikali ya Rais Paul Kagame aliyekaa madarakani tangu mwaka 2000

Wapinzani nchini Rwanda wanaripotiwa kutekwa, kufungwa jela na kukamatwa kiholela na vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad