AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Eugene Ndereyimana mwanachama wa muungano wa upinzani usio rasmi wa FDU-Inkingi ametoweka wakati akienda kuongea na Wananchi wa Mji wa Nyagatare
Ndereyimana(29) ambaye ni Baba wa Watoto wawili ni mtu wa 5 kutoka chama cha FDU-Inkingi kutoweka katika mazingira tata
FDU-Inkingi wamekuwa wakiendesha harakati za kuikosoa Serikali ya Rais Paul Kagame aliyekaa madarakani tangu mwaka 2000
Wapinzani nchini Rwanda wanaripotiwa kutekwa, kufungwa jela na kukamatwa kiholela na vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK