AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lukuvi amesema “Ndugu zangu watendaji wa ardhi siwatishi, sina uhakika kama mwakani nikienda kugombea na kurudi kama nitakuja Wizara hii, lazima niwaambie ukweli hapa sasa mmeingia katika kumi na nane zangu, mimi ni eyes on hands on”
“Nipo na nyinyi nitakula sahani moja na nyinyi mimi sivumilii mtu, katika kipindi changu katika Wizara hii nimeona madudu makubwa mnayofanya, mnafanya mambo ya hovyo sana, inawezekanaje watu wazima mnamilikisha kiwanja kimoja kwa watu watatu na mmesoma, ndugu zanguni mambo haya mnayafanya sana acheni mtaungua” Lukuvi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK