AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini (Chadema) Godbless Lema amehoji aliyekuwa Katibu Mkuu mstafuu wa Chama cha Mapinduzi ( CCM), Abdulrahman Kinana leo ni mpumbavu.
Lema aliandika ujumbe mfupi katika ukurasa wake wa kijamii wa Twitter ambao unaosomeka hivi ” Abdulrahman Kinana leo ni mpumbavu???,”.
Katibu Mkuu wa CCM, Ally Bashiru, Jana alisema kuwa “Ole wake mwana CCM yoyote atakayetumia upumbavu wa wapumbavu unaoendelea ili atafute ‘kiki’ tutapambana nae, Chama kina utaratibu, kanuni na tamaduni zake,” amesema.Abdulrahman Kinana leo ni mpumbavu ???— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) July 23, 2019
Bashiru amewaonya wana CCM ambao watabainika kufanya malumbano ya kutafuta kiki za kisiasa kwa kile kinachoendelea atawafukuza.
Aidha, amesema ligi iliyotengenezwa sio saizi yao na kusisitiza kuwa CCM ni chama madhubuti na viongozi wake wapo imara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Godilesi. Nyie ndiyo wale wale wa Chandimu.
ReplyDeleteUmepata hoja ndiyo kihere here kama cha Kubenea...!!! ?