AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akistorisha na Za Motomoto, Lynn ambaye kwa muda mrefu amekuwa akijionesha maisha ya kishua alisema kuwa, wasichana wengi wanakata tamaa ya maisha waliyopitia kumbe ndio yangewafanya wasimame.
“Kujiamini tu jamani, kuna wengine wanadharau sana wasichana wanaoishi maisha ya uswahili yaani kule ndio naamini kabisa kuna wasichana wa ukweli kikubwa ni kujiamini. Mimi ni mtoto Buguruni tena uswahilini tu lakini ngumu kuamini ni vile tu nilivyojitengeneza hadi kuwa hivi nilivyo,” alisema Lynn.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK