AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waasi hao wanaoshukiwa kutoka kundi la ADF kwa wakati mmoja wameshambulia maeneaya Eringeti na Oicha siku ya Jumatatu.
Msimamizi wa eneo la Beni Kasereka Donat amesema waasi hao wamewaua watu tisa Eringeti na watatu Oicha.
Donat ameongeza kuwa licha ya kutumwa idadi kubwa ya wanajeshi wa Kongo katika eneo hilo, wakaazi wake bado wanaishi katika hali ya taharuki kutokana na mashambuli ya aina hiyo.
Uwepo wa kundi la waasi wa kiislam, pamoja na wanamgambo wengine wanaofanya vurugu, umehujumu juhudi za kutaka kuudhibiti ugonjwa huo wa Ebola.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK