Maskini..Miili 25 ya Watoto Wachanga Yapatikana Kwenye Makaburi Ivory Coast

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Miili 25 ya watoto imelipatikana kwenye makaburi kaskazini magharibi mwa Ivory Coast.

Vyombo vya habari vimeripoti kwamba polisi wamepata miili ya watoto 25 kwenye makaburi katika mji wa Gagnoa, kilomita 230 kutoka mji mkubwa zaidi nchini, Abidjan.

Maafisa wa polisi, wamesema miili hiyo imepatikana baada  ya polisi kuona vifaa vya  kuchimbia katika makaburi hayo.Walipofanya utafiti wakakutana na begi jeusi lililojaa miili 25 ya  watoto iliyooza.

Mamlaka imeanzisha rasmi uchunguzi wa tukio hilo kwani huenda ukawa na uhusiano na mila za kishirikina.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad