AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema ni bora kufuta mfumo wa vyama vingi kuliko kuliingiza jeshi katika masula ya siasa ni kusababisha machafuko.
Lema ameyasema hayo leo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter, alidai kuwa kauli ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha katika mkutano wa Chama cha Mapinduzi hivi karibuni alitoa kauli mbaya inayolenga mpasuko katika jamii.
Amesema kuliingiza jeshi katika siasa ni kuleta machafuko katika jamii.
Lema aliandika hivi”Kwa vile hakuna ujinga unaoshindikana kwa sasa, ni bora kufuta mfumo wa vyama vingi kuliko kuliingiza jeshi la polisi katika siasa. Kauli ya RPC Arusha katika mkutano wa CCM hivi karibuni ni kauli mbaya inayoleta mpasuko katika jamii. Kuliingiza jeshi katika siasa ni kuleta machafuko katika jamii,”
Kwa vile hakuna ujinga unao shindikana kwa sasa,ni bora kufuta mfumo wa Vyama vingi kuliko kuliingiza Jeshi la Polisi ktk siasa.Kauli ya RPC Arusha ktk mkutano wa ccm hivi karibuni ni kauli mbaya inayoleta mpasuko ktk jamii.Kuliingiza Jeshi ktk siasa ni kuleta machafuko ktk jamii— Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) July 3, 2019
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK