AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwenye hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo ambapo Rais mstaafu ameiomba serikali kuweka mazingira yenye uwiano sawa wa utoaji wa elimu kwa vyuo vikuu vya umma na vile vya binafsi ili kuepusha dhana potofu kuwa vyuo vya umma vinathaminiwa zaidi.
Pia Rais mstaafu Mkapa ameiomba serikali kufanya mapitio ya mara kwa mara ya sera ya elimu ya juu ili kuendana na hali halisi ya muda husika kwa kuwa vyuo hivyo ni njia ya kuwandaa viongozi wa taifa hili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK