Mkapa Aenzi Aiaka 20 ya Chuo cha SAUT

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkapa Aenzi Aiaka 20 ya Chuo cha SAUT
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ameshiriki katika hafla ya maadhimisho ya miaka 20 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT) cha mkoani Mwanza.

Kwenye hafla hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo ambapo Rais mstaafu ameiomba serikali kuweka mazingira yenye uwiano sawa wa utoaji wa elimu kwa vyuo vikuu vya umma na vile vya binafsi ili kuepusha dhana potofu kuwa vyuo vya umma vinathaminiwa zaidi.

Pia Rais mstaafu Mkapa ameiomba serikali kufanya mapitio ya mara kwa mara ya sera ya elimu ya juu ili kuendana na hali halisi ya muda husika kwa kuwa vyuo hivyo ni njia ya kuwandaa viongozi wa taifa hili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad