Mrembo Tunda Afunguka "Mimba Nimesingiziwa Sana Kama Kweli Ningekuwa na Watoto Watano Sasa'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tunda Kama Mimba Nishabambikiwa Sana

Muuza nyago maarufu kwenye video za Kibongo, Tunda amefunguka kuwa kama kubambikiwa mimba anaongoza kwani angekuwa na watoto zaidi ya watano.

Akipiga stori na Za Motomoto, Tunda alisema kuwa anachukizwa na watu wanaoibuka na kudai kuwa Tunda ana ujauzito huku yeye mwenyewe akiwa hajui chochote kinachoendelea kiasi ambacho vitu vingine anaamua kunyamaza tu.

“Kama ni mimba tu za kuzaa kwa maneno ya watu basi ningekuwa na watoto zaidi ya watano maana kila kukicha Tunda ana mimba sijui nini vitu kibao ambavyo hata mimi mwenyewe muhusika sivijui kabisa kabisa,” alisema Tunda.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad