AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini Marc Batchelor amepigwa risasi na kufariki
Picha za eneo la tukio zinaonyesha risasi zilipita kwenye dirisha la kioo cha gari lake na waliofanya tukio hilo inaelezwa walikuwa wamepanda pikipiki.
Batchelor atakumbukwa sababu ni miongoni mwa wachezaji wachache waliocheza timu hasimu nchini Afrika kusini, Kaizer Chiefs na Orlando Pirates.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK