Mshambuliaji wa Kaizer Chiefs apigwa risasi na kufariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini Marc Batchelor amepigwa risasi na kufariki

Picha za eneo la tukio zinaonyesha risasi zilipita kwenye dirisha la kioo cha gari lake na waliofanya tukio hilo inaelezwa walikuwa wamepanda pikipiki.

Batchelor atakumbukwa sababu ni miongoni mwa wachezaji wachache waliocheza timu hasimu nchini Afrika kusini, Kaizer Chiefs na Orlando Pirates.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad