AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Chan kati ya Taifa Stars na Kenya umekamilika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kwa sare ya bila kufungana.
Kipindi cha kwanza kwa timu zote mbili hakuna hata timu moja iliyopiga shuti lililolenga lango kwa mpinzani wake.
Kwa matokeo hayo ya leo, Taifa Stars ina kazi kubwa ya kufanya kwenye mchezo wa marudio utakaochezwa nchini Kenya August 4 mwaka huu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK